39 Hata hivyo, ninawaambia: Msimzuie mtu mwovu, bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la kushoto.+40 Na ikiwa mtu anataka kukupeleka mahakamani ili alichukue vazi lako la ndani, mwachie pia vazi lako la nje;+
7 Kwa kweli, tayari mmeshindwa mnapokuwa na mashtaka ya kisheria wenyewe kwa wenyewe. Je, si afadhali mkubali kukosewa?+ Je, si afadhali mkubali kupunjwa?