Methali 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Usiseme: “Nitamtendea kama tu alivyonitendea;Nitamlipiza kwa sababu ya mambo aliyonitendea.”*+ Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+ Luka 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Anayekupiga kwenye shavu moja, mgeuzie pia shavu lingine; na anayechukua vazi lako la nje, usimzuilie hata vazi la ndani.+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote. 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.
6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+
29 Anayekupiga kwenye shavu moja, mgeuzie pia shavu lingine; na anayechukua vazi lako la nje, usimzuilie hata vazi la ndani.+
23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.