Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usiseme: “Nitamtendea kama tu alivyonitendea;

      Nitamlipiza kwa sababu ya mambo aliyonitendea.”*+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipiga

      Na mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu.

      Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+

  • Luka 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Anayekupiga kwenye shavu moja, mgeuzie pia shavu lingine; na anayechukua vazi lako la nje, usimzuilie hata vazi la ndani.+

  • Waroma 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote.

  • 1 Petro 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki