Methali 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+ Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote. Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+
15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+