Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’ Methali 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Usiseme: “Nitamtendea kama tu alivyonitendea;Nitamlipiza kwa sababu ya mambo aliyonitendea.”*+ Mathayo 5:38, 39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+ 39 Hata hivyo, ninawaambia: Msimzuie mtu mwovu, bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la kushoto.+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote. Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’
38 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+ 39 Hata hivyo, ninawaambia: Msimzuie mtu mwovu, bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la kushoto.+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+
15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+