Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo,+

      Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+

      Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,

      Na kinachowasubiri kitafika haraka.’

  • Methali 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usiseme: “Nitamtendea kama tu alivyonitendea;

      Nitamlipiza kwa sababu ya mambo aliyonitendea.”*+

  • Mathayo 5:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+ 39 Hata hivyo, ninawaambia: Msimzuie mtu mwovu, bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la kushoto.+

  • Waroma 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote.

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+

  • 1 Wathesalonike 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki