16 Kwa matunda yao mtawatambua. Je, watu huchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma?+ 17 Vivyo hivyo, kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda mabaya.+ 18 Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti uliooza hauwezi kuzaa matunda mazuri.+