19 Mwana wa binadamu alikuja akila na kunywa,+ lakini watu wanasema, ‘Tazama! Yeye ni mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya kodi na watenda dhambi.’+ Hata hivyo, hekima huthibitishwa kuwa yenye uadilifu* kupitia kazi zake.”*+
30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwalalamikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi?”+