Luka 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na kutoka Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; na Yehova* alikuwa amempa nguvu za kuponya.+
17 Siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na kutoka Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; na Yehova* alikuwa amempa nguvu za kuponya.+