Luka 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 lakini akasema: “Lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi, akataliwe na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa,+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Luka 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, lazima niendelee leo, kesho, na keshokutwa, kwa sababu haiwezekani* nabii kuuawa nje ya Yerusalemu.+
22 lakini akasema: “Lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi, akataliwe na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa,+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+
33 Hata hivyo, lazima niendelee leo, kesho, na keshokutwa, kwa sababu haiwezekani* nabii kuuawa nje ya Yerusalemu.+