Isaya 53:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+ Isaya 53:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+ Luka 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, kwanza lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na kizazi hiki.+
5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+