Marko 9:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Walipowakaribia wale wanafunzi wengine, wakaona umati mkubwa umewazunguka, na kulikuwa na waandishi waliokuwa wakibishana nao.+ 15 Lakini mara tu umati wote ulipomwona, ukashangaa, ukamkimbilia ili kumsalimu.
14 Walipowakaribia wale wanafunzi wengine, wakaona umati mkubwa umewazunguka, na kulikuwa na waandishi waliokuwa wakibishana nao.+ 15 Lakini mara tu umati wote ulipomwona, ukashangaa, ukamkimbilia ili kumsalimu.