-
Marko 9:38-40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
38 Yohana akamwambia: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akifukuza roho waovu kwa kutumia jina lako, tukajaribu kumzuia, kwa sababu hakuwa akitufuata.”+ 39 Lakini Yesu akasema: “Msijaribu kumzuia, kwa maana hakuna yeyote atakayefanya matendo yenye nguvu kwa msingi wa jina langu atakayeweza kusema mambo mabaya kunihusu. 40 Kwa maana yeyote ambaye hatupingi yuko upande wetu.+
-