Mathayo 10:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mnapoingia katika nyumba, wasalimuni watu wa nyumba hiyo. 13 Ikiwa nyumba hiyo inastahili, amani mnayoitakia na iwe juu yake;+ lakini kama haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi.
12 Mnapoingia katika nyumba, wasalimuni watu wa nyumba hiyo. 13 Ikiwa nyumba hiyo inastahili, amani mnayoitakia na iwe juu yake;+ lakini kama haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi.