Mathayo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+