Kumbukumbu la Torati 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo aliwanyenyekeza na kuwaacha mkae njaa,+ naye akawalisha mana,+ ambayo ninyi wala baba zenu hamkuwa mmeijua, ili awafundishe kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali huishi kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.+ Luka 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akamjibu: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu.’”+ Yohana 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma+ na kuimaliza kazi yake.+
3 Kwa hiyo aliwanyenyekeza na kuwaacha mkae njaa,+ naye akawalisha mana,+ ambayo ninyi wala baba zenu hamkuwa mmeijua, ili awafundishe kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali huishi kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.+