Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Siwezi kufanya jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe. Kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu yangu ni ya uadilifu+ kwa sababu sitafuti mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi ya yule aliyenituma.+

  • Yohana 5:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini nina ushahidi mkubwa kuliko wa Yohana, kwa maana kazi ambazo Baba yangu alinipa nitimize, yaani, kazi hizi ninazofanya zinatoa ushahidi kwamba Baba alinituma.+

  • Yohana 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nimekutukuza duniani,+ kwa kuwa nimemaliza kazi uliyonipa nifanye.+

  • Yohana 19:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Baada ya kuipokea ile divai kali, Yesu akasema: “Imetimizwa!”+ akainamisha kichwa chake akakata pumzi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki