Kutoka 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi makuhani wachawi wakamwambia Farao: “Ni kidole cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi, na kama Yehova alivyosema, hakuwasikiliza.
19 Basi makuhani wachawi wakamwambia Farao: “Ni kidole cha Mungu!”+ Lakini moyo wa Farao ukaendelea kuwa mkaidi, na kama Yehova alivyosema, hakuwasikiliza.