Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:43-45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 “Roho mwovu anapomtoka mtu, yeye hupitia maeneo yasiyo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati.+ 44 Kisha anasema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama’; naye anapofika, anakuta haijakaliwa lakini imefagiwa ikawa safi na kupambwa. 45 Naye huenda na kuwaleta roho wengine saba walio waovu kuliko yeye, na baada ya kuingia ndani, wao hukaa humo; na hali ya mwisho ya mtu huyo huwa mbaya zaidi kuliko ya kwanza.+ Hivyo ndivyo itakavyokuwa pia kwa kizazi hiki kiovu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki