Luka 1:46-48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye Maria akasema: “Nafsi* yangu inamtukuza Yehova,*+ 47 na roho yangu haitaacha kumshangilia Mungu Mwokozi wangu,+ 48 kwa sababu ametazama hali ya chini ya kijakazi wake.+ Tazama! tangu sasa vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha,+
46 Naye Maria akasema: “Nafsi* yangu inamtukuza Yehova,*+ 47 na roho yangu haitaacha kumshangilia Mungu Mwokozi wangu,+ 48 kwa sababu ametazama hali ya chini ya kijakazi wake.+ Tazama! tangu sasa vizazi vyote vitanitangaza kuwa mwenye furaha,+