Luka 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imesikiwa vema, na mke wako Elisabeti atakuzalia mwana, nawe utamwita Yohana.+
13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imesikiwa vema, na mke wako Elisabeti atakuzalia mwana, nawe utamwita Yohana.+