Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ 1 Timotheo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo, lakini ujitoaji-kimungu* una faida katika mambo yote, kwa kuwa una ahadi ya uhai wa sasa na ule utakaokuja.+
10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo, lakini ujitoaji-kimungu* una faida katika mambo yote, kwa kuwa una ahadi ya uhai wa sasa na ule utakaokuja.+