Mathayo 8:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini ninawaambia kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi na kuketi mezani pamoja na Abrahamu, Isaka, na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni;+ 12 lakini wana wa Ufalme watatupwa nje gizani. Huko ndiko watalia na kusaga meno yao.”+
11 Lakini ninawaambia kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi na kuketi mezani pamoja na Abrahamu, Isaka, na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni;+ 12 lakini wana wa Ufalme watatupwa nje gizani. Huko ndiko watalia na kusaga meno yao.”+