13 Wala msiendelee kuitoa miili yenu* kwa dhambi kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai kutoka kwa wafu, pia toeni miili yenu* kwa Mungu kuwa silaha za uadilifu.+
4 Lakini Mungu, akiwa tajiri katika rehema,+ kwa sababu ya upendo wake mwingi aliotupenda nao,+5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa.