Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+ Marko 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+
26 Yesu akawatazama kwa makini na kusema: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
27 Akawatazama moja kwa moja na kusema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+