22 Kisha yule aliyepokea talanta mbili akaja na kusema, ‘Bwana, ulinikabidhi talanta mbili, ona, nimepata talanta mbili zaidi.’+ 23 Bwana wake akamwambia: ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu katika mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi. Ingia katika shangwe ya bwana wako.’