-
Mathayo 25:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
22 Halafu yule aliyekuwa amepokea zile talanta mbili akaja mbele na kusema, ‘Bwana-mkubwa, ulinikabidhi talanta mbili; ona, nilipata faida ya talanta mbili zaidi.’
-