Zekaria 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha nikawaambia: “Ikiwa mnaona ni vema, nipeni mshahara wangu; kama sivyo, msinipe.” Basi wakanilipa* mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+
12 Kisha nikawaambia: “Ikiwa mnaona ni vema, nipeni mshahara wangu; kama sivyo, msinipe.” Basi wakanilipa* mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+