-
Mathayo 20:25-27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Lakini Yesu akawaita, akawaambia: “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu hutumia mamlaka juu yao.+ 26 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu;+ bali yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ 27 na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu lazima awe mtumwa wenu.+
-
-
Marko 10:42-44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
42 Lakini Yesu akawaita akawaambia: “Mnajua kwamba wale wanaotawala* mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+ 43 Haipaswi kuwa hivyo kati yenu; lakini yeyote anayetaka kuwa mkubwa kati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ 44 na yeyote anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu lazima awe mtumwa wa wote.
-