Mathayo 26:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Akarudi na kuwakuta wanafunzi wakiwa wamelala usingizi, akamuuliza Petro: “Je, hamngeweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja?+ Marko 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Aliporudi akawakuta wakiwa wamelala usingizi, akamwuliza Petro: “Simoni, unalala? Hukuwa na nguvu za kukesha hata kwa saa moja?+
40 Akarudi na kuwakuta wanafunzi wakiwa wamelala usingizi, akamuuliza Petro: “Je, hamngeweza kukesha pamoja nami hata kwa saa moja?+
37 Aliporudi akawakuta wakiwa wamelala usingizi, akamwuliza Petro: “Simoni, unalala? Hukuwa na nguvu za kukesha hata kwa saa moja?+