Mathayo 27:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Vivyo hivyo, hata wezi waliotundikwa mtini kando yake walikuwa wakimshutumu.+ Marko 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Acheni Kristo, Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso,* ili tuone na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini kando yake walikuwa wakimshutumu.+
32 Acheni Kristo, Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso,* ili tuone na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini kando yake walikuwa wakimshutumu.+