Luka 24:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+
30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+