Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Changamkeni, pigeni pamoja vigelegele kwa shangwe, enyi magofu ya Yerusalemu,+

      Kwa maana Yehova amewafariji watu wake;+ amekomboa Yerusalemu.+

  • Marko 15:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 akaja Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza aliyeheshimiwa, ambaye pia alikuwa akiungojea Ufalme wa Mungu. Akajipa moyo na kwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.+

  • Luka 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na tazama! kulikuwa na mtu fulani Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, alikuwa mwadilifu na alimwogopa Mungu, naye alikuwa akisubiri faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki