Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akaenda kuishi katika jiji liitwalo Nazareti,+ ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia manabii: “Ataitwa Mnazareti.”*+ Luka 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Katika mwezi wake wa sita, malaika Gabrieli+ akatumwa na Mungu aende katika jiji la Nazareti huko Galilaya,
23 Akaenda kuishi katika jiji liitwalo Nazareti,+ ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia manabii: “Ataitwa Mnazareti.”*+
26 Katika mwezi wake wa sita, malaika Gabrieli+ akatumwa na Mungu aende katika jiji la Nazareti huko Galilaya,