Wakolosai 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeye ndiye mfano wa Mungu asiyeonekana,+ mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote;+ Ufunuo 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+ Ufunuo 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 naye amevaa vazi la nje lililo na damu,* na jina analoitwa ni Neno+ la Mungu.
11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+