Mathayo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu, na ili kumjaribu wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+ 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;
16 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu, na ili kumjaribu wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+