-
Yohana 12:28-30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+
29 Umati uliokuwa umesimama hapo ulisikia sauti hiyo ukaanza kusema kumekuwa na mngurumo. Nao wengine wakasema: “Malaika ameongea naye.” 30 Yesu akajibu: “Sauti hii imesikika, si kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu.
-
-
1 Yohana 5:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Tukikubali ushahidi wa wanadamu, ushahidi wa Mungu ni mkuu zaidi. Kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, ushahidi ambao ametoa kumhusu Mwana wake.
-