Yohana 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+ Yohana 18:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama Ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi.+ Lakini, kama ilivyo, Ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”
36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama Ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi.+ Lakini, kama ilivyo, Ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”