Yohana 5:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+ Waroma 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo wake.+
28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+
5 Ikiwa tumeungana pamoja naye katika mfano wa kifo chake,+ hakika sisi pia tutaunganishwa pamoja naye katika mfano wa ufufuo wake.+