Yohana 6:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno niliyowaambia ni roho na ni uzima.+ Yohana 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+
63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno niliyowaambia ni roho na ni uzima.+
3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+