Marko 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakuu wa makuhani na waandishi waliposikia hayo, wakaanza kutafuta njia ya kumuua;+ kwa maana walimwogopa, kwa sababu umati wote ulishangazwa na mafundisho yake.+ Luka 19:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+
18 Wakuu wa makuhani na waandishi waliposikia hayo, wakaanza kutafuta njia ya kumuua;+ kwa maana walimwogopa, kwa sababu umati wote ulishangazwa na mafundisho yake.+
47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+