6 Tazama! Nitakuwa nimesimama mbele yako kwenye mwamba huko Horebu. Unapaswa kuupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, kisha watu watayanywa.”+ Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
8 “Ichukue ile fimbo, kisha wewe na Haruni ndugu yako muwakusanye watu wote, halafu uzungumze na mwamba mbele ya macho yao ili utoe maji, nawe utatoa maji katika mwamba huo na kuwapa watu wote pamoja na mifugo yao maji ya kunywa.”+
14 Yeyote atakayekunywa maji nitakayompa hatakuwa na kiu kamwe,+ kwa sababu maji ambayo nitampa yatakuwa kama chemchemi ya maji ndani yake, inayobubujika ili kumpa uzima wa milele.”+