19 Basi mkuu wa makuhani akamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na kuhusu mafundisho yake. 20 Yesu akamjibu: “Nimezungumza na ulimwengu hadharani. Sikuzote nilifundisha katika sinagogi na hekaluni,+ ambapo Wayahudi wote hukusanyika, nami sikusema jambo lolote kwa siri.