22 Hata hivyo, sasa, kwa vile mliwekwa huru kutoka katika dhambi na kuwa watumwa wa Mungu, mnazaa matunda katika utakatifu,+ na mwisho ni uzima wa milele.+
25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+