Yohana 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini hamwamini, kwa sababu ninyi si kondoo wangu.+ 1 Yohana 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sisi tunatokana na Mungu. Yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza;+ yeyote ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyolitofautisha neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+
6 Sisi tunatokana na Mungu. Yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza;+ yeyote ambaye hatokani na Mungu hatusikilizi.+ Hivi ndivyo tunavyolitofautisha neno la kweli lililoongozwa na roho na neno lenye kosa lililoongozwa na roho.+