Yohana 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na kumwambia: “Nenda ukanawe katika dimbwi la Siloamu” (linalotafsiriwa kuwa “Aliyetumwa”). Naye akaenda na kunawa, akarudi akiwa anaona.+
7 na kumwambia: “Nenda ukanawe katika dimbwi la Siloamu” (linalotafsiriwa kuwa “Aliyetumwa”). Naye akaenda na kunawa, akarudi akiwa anaona.+