Mambo ya Walawi 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo yule aliyelitukana jina la Yehova lazima auawe.+ Kwa hakika kusanyiko lote linapaswa kumpiga mawe. Mgeni anapaswa kuuawa sawasawa na mwenyeji kwa sababu ya kulitukana lile Jina.
16 Kwa hiyo yule aliyelitukana jina la Yehova lazima auawe.+ Kwa hakika kusanyiko lote linapaswa kumpiga mawe. Mgeni anapaswa kuuawa sawasawa na mwenyeji kwa sababu ya kulitukana lile Jina.