Mathayo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana Mwalimu+ wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu. Yohana 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninyi huniita, ‘Mwalimu,’ na, ‘Bwana,’ nanyi hamjakosea, kwa maana ndivyo nilivyo.+