2 Samweli 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya miaka miwili kamili, wakataji manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa kule Baal-hasori, karibu na Efraimu,+ Absalomu aliwaalika wana wote wa mfalme.+ 2 Mambo ya Nyakati 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Abiya akaendelea kumfuatia Yeroboamu, akateka majiji yake, Betheli+ na miji yake, Yeshana na miji yake, na Efraini+ na miji yake.
23 Baada ya miaka miwili kamili, wakataji manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa kule Baal-hasori, karibu na Efraimu,+ Absalomu aliwaalika wana wote wa mfalme.+
19 Abiya akaendelea kumfuatia Yeroboamu, akateka majiji yake, Betheli+ na miji yake, Yeshana na miji yake, na Efraini+ na miji yake.