Mathayo 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alipomimina mafuta haya yenye marashi kwenye mwili wangu, alifanya hivyo ili kunitayarisha kwa ajili ya mazishi.+ Marko 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amefanya alichoweza; ameupaka mwili wangu mafuta yenye marashi ili kuutayarisha kwa ajili ya mazishi.+ Yohana 19:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa vya kitani pamoja na manukato,+ kulingana na desturi ya mazishi ya Wayahudi.
12 Alipomimina mafuta haya yenye marashi kwenye mwili wangu, alifanya hivyo ili kunitayarisha kwa ajili ya mazishi.+
8 Amefanya alichoweza; ameupaka mwili wangu mafuta yenye marashi ili kuutayarisha kwa ajili ya mazishi.+
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa vya kitani pamoja na manukato,+ kulingana na desturi ya mazishi ya Wayahudi.