Yohana 13:31, 32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo alipoondoka, Yesu akasema: “Sasa Mwana wa binadamu ametukuzwa,+ na Mungu ametukuzwa kuhusiana naye. 32 Mungu mwenyewe atamtukuza,+ naye atamtukuza mara moja. Yohana 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akasema mambo hayo, kisha akatazama mbinguni na kusema: “Baba, saa imefika. Mtukuze mwana wako ili mwana wako akutukuze,+
31 Kwa hiyo alipoondoka, Yesu akasema: “Sasa Mwana wa binadamu ametukuzwa,+ na Mungu ametukuzwa kuhusiana naye. 32 Mungu mwenyewe atamtukuza,+ naye atamtukuza mara moja.
17 Yesu akasema mambo hayo, kisha akatazama mbinguni na kusema: “Baba, saa imefika. Mtukuze mwana wako ili mwana wako akutukuze,+