Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 12:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa kweli, kuna ubatizo ninaopaswa kubatizwa, na ninataabika sana mpaka umalizike!+

  • Luka 22:41, 42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Akawaacha na kwenda umbali wa mtupo wa jiwe, akapiga magoti na kuanza kusali, 42 akisema: “Baba, ukipenda, niondolee kikombe hiki. Hata hivyo, si kama ninavyopenda, bali mapenzi yako na yatendeke.”+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki